I am a seasoned fashion designer with over 25 years of experience in the field. Apart from my quest to developing further the industry in Tanzania, I also have a resolve to helping young men and women in pursuing designing and modeling careers as well as creating employment for them. This site ie therefore dedicated to the fashion industry in Tanzania with the above objectives at heart
mamodo walioshiriki shoo ya tawoma wakiwa backstage kabla ya kupanda jukwaani mama wa mitindo nchini asia idarous akipozi na mamodo walioonesha mitindo na madini ijumaa usiku kwenye shoo ya tawoma
The guest of honour Hon. William Ngeleja (in tie) poses with organisers of the fashion show held on Friday night at the Moevenpick hotel in Dar es salaam. Extreme right is Palestine's Ambassador to Tanzania who is one of the great supporters of social actities
CHAIRMAN OF FABAK FASHIONS KHAMSIN IDDY AND HIS MANAGING DIRECTOR ASIA IDAROUS WALK THE CATWALK TOWARDS THE FINAL BOW DURING THE CLIMAX OF THIS YEAR'S SUCCESFUL LADY IN RED FASHION SHOW HELD ON VALENTINE'S WEEK AT MOEVENPICK HOTEL IN DAR ES SALAAM
WAPENZI WOTE WA MITINDO NA ULIMBWENDE NAWAKARIBISHA KATIKA KIJIJI HIKI AMBAPO PAMOJA NA KAZI ZANGU NA MAELEZO YA KINA KUHUSU FANI HIZO PIA NITAKUWA NINAWALETEA HABARI ZINAZOHUSIANA NA MAMBO HAYO KILA YATOKEAPO HAPA NYUMBANI NA NJE YA NCHI. KARIBUNI KUTOA MAONI NA HATA KUKOSOANA KWA KUJENGA ILI TUENDELEZE FANI HIZI ADHIMU. PICHANI NI MIMI NA MUME WANGU BW. KHAMSIN IDDY AMBAYE PIA NI MWENYEKITI WA FABAK FASHIONS YENYE MAKAO MAKUU YAKE MSASANI, KARIBU NA NEW MSASANI CLUB, AMA MAKAO MAKUU YA ZANTEL, DAR ES SALAAM